AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mtandao wa Bazaar umeripoti kuwa Diddy ameanzisha mahusiano mapya na mwanadada Jocelyn Chew ikiwa wawili hao wanatajwa kuonekana mjini Miami mwezi uliopita na pia walihudhuria onesho la Drake siku kadhaa zilizopita.
Mwanadada Jocelyn Chew anayedaiwa kuwa mpenzi mpya wa Diddy
Inaelezwa kuwa Diddy na Cassie walikutana rasmi mwaka 2000 hii ni baada ya Cassie kujiunga na record label ya Bad Boys na ilipofika 2012 wawili hao waliamua kuweka wazi mahusiano yao lakini August 2016 inadaiwa kuwa waliachana na baadae kurudiana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK