AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gekul ametaja sababu mbili za kufanya maamuzi hayo. Ya kwanza ni chama kuwabebesha wabunge mzigo shughuli za ujenzi wa chama.
Gekul ameendelea kusema kuwa kwenye chaguzi ndogo zote zilizofanyika Manyara alitoa fedha zake mfukoni kugharamia, na chama kilileta laki tano tu, licha ya kwamba kinapokea ruzuku ya zaidi ya milioni 300 kwa mwezi. Pili amesema ni kupigwa majungu na viongozi wenzie wa Chadema.
Mheshimiwa Gekul anakuwa mbunge wa nane wa upinzani na tisa wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muunganobwa Tanzania chini ya Spika Ndugai kujiuzulu.
Katika wimbi hili la hama hama ya wabunge hadi sasa ni Lazaro Nyalandu pekee aliyekuwa mbunge wa Singida Kaskazini kupitia CCM alijiuzulu na kujiunga na Chadema.
Hadi sasa wabunge wa upinzani waliojiuzulu na kutimukiia CCM walikopitishwa na kugombea na sasa ni wabunge ni Maulid Mtulia (Kinondoni-CUF) na Dk Godwin Mollel (Siha-Chadema).
Wanaosubiri kuapishwa ni; Mwita Waitara (Ukonga-Chadema) na Julius Kalanga (Monduli-Chadema) huku Zuberi Kuchauka (Liwale-CUF) huenda akaibuka mshindi katika uchaguzi uliofanyika leo Jumamosi Oktoba 13,2018.
Wengine waliojizuli hivi karibuni ni; Mwarya Chacha (Serengeti-Chadema) na James Milly wa Simanjiro naye Chadema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK