Rais Magufuli Amtumia Salam za Rambirambi Rais Kenyatta Kufuatia Ajali Iliyoua Watu Zaidi ya 50

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Amtuma Salam za Rambirambi Rais Kenyatta Kufuatia Ajali Iliyoua Watu Zaidi ya 50
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ametuma salam za kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia ajali iliyoua watu zaidi ya 50 katika eneo la Kericho nchini humo.

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Rais Magufuli ameandika “Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya basi iliyotokea Kericho nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 50. Nakupa pole Rais Uhuru Kenyatta, familia za marehemu na Wakenya wote. Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema na majeruhi wapone haraka.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad