AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika jimbo la chalinze mkoani Pwani wahitimu zaidi 400 wanatarajiwa kumaliza mafunzo ya Jeshi la akiba mwezi ujao na hivyo kujifungulia fursa kwa upataji wa ajira kwa vijana hao kupitia kwenye mashirika mbalimbali ya ulinzi katika wilaya hiyo ya Bagamoyo.
Wakizungumza na mbunge wao Ridhiwani Kikwete vijana walitaja changamoto zinazowakabili kuwa,wengi wao kushindwa kumudu gharama za ununuzi wa kombati mara baada ya mafunzo ya jeshi la akiba kumalizika kutokana na walio wengi kutokuwa na uwezo kiuchumi.
Kurusumu Shabani ni mmoja wa wanamafunzo wa jeshi la akiba alisema kuwa wanampongeza mbunge huyo kwa kuwanunulia wana jeshi la akiba kombati ambazo watazitumia siku ya mwisho ya mafunzo yao.
Aliongeza kuwa ni mafunzo mengi yamefanyika hapa nchini lakini viongozi wachache wenye kuwathamini wahitimu hao kama moja ya sehemu za ulinzi katika jamii, hivyo Kikwete ni kiongozi wa kuigwa katika jamii.
Aidha alisema kuwa vijana walio wengi katika halmashauri ya chalinze wameitikia wito wa kujiunga kwenye jeshi la akiba kutokana na utitili wa viwanda kwenye halmashauri hiyo hivyo ajira za aina nyingi zitapatikana bila wasiwasi kwa kupitia mafunzo hayo.
“Vijana wenzangu onyesheni uzalendo wa dhati katika taifa hili kwa kulitumikia kwa kulinda raia na mali zake pindi mmalizapo mafunzo hayo mkaisaidie jamii katika masuala ya kutokomeza wizi”– Ridhiwani Kikwete.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK