“Sijaona hata mchezaji mmoja mwenye akili kama Ajib”-Kocha wa Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 “Sijaona hata mchezaji mmoja mwenye akili kama Ajib”-Kocha wa Yanga
October 20 2018 Yanga ilicheza game yake ya saba ya Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Stand United uwanja awa Taifa Dar es Salaam, Yanga ikiwa katika uwanja huo imefanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-0.

Magoli ya Yanga yakifungwa na Makambo dakika ya 18, Ngassa dakika ya 25 na Ibrahim Ajib aliyefunga goli la tatu dakika ya 86, goli la Ajib la leo limerudi kwenye headlines tena na baada ya game kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliulizwa na waandishi wa habari kuwa ni siri gani kampa Ajib.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad