AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ronaldo ameweka wazi hayo kupitia mwanasheria wake, Peter Christiansen ambaye amedai kuwa kuna nyaraka ziliibiwa na kutumika vibaya kwenye skendo hiyo ili kuonyesha ni kweli mteja wake alibaka kitu ambacho siyo kweli.
Mwanasheria huyo amesema baada ya nyaraka kadhaa kuibiwa zilitengenezwa na kubadilishwa ili ionekane Ronaldo alihusika katika kumshawishi mwanamke aliyefungua kesi kuwa alilipwa ili akae kimya miaka kadhaa ya nyuma.
Kathryn Mayorga akicheza muziki na Cristiano Ronaldo kwenye ukumbi wa starehe maeneo ya Las Vegas nchini Marekani
Ronaldo, 33, amekuwa akikana mara kadhaa kuhusika katika kumbaka Kathryn Mayorga wakati walipokutana kwenye ukumbi wa starehe maeneo ya Las Vegas nchini Marekani mwaka 2009 lakini skendo hiyo imeendelea kumuandama na kutishia biashara zake binafsi.
Nyota huyo anadai lengo la skendo hiyo ni kumharibia sifa na jina lake na hakuna ukweli wowote.
I l i d a i w a kuwa mwaka 2010, R o n a l d o a l i m p a mw amk e huyo pauni 287,000 ili akae kimya kuhusu skendo hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK