Watu 14 Wanashikiliwa Wakihusishwa na Sakata la Watoto 17 Kulawitiwa Mkesha wa Mwenge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jinsia na Watoto amesema kuwa watu hao wamekamatwa baada ya Jeshi la Polisi kufanya msako
-
Uchunguzi sakata hilo bado unaendelea na utakapokamilika Watuhumiwa hao watafikishwa kwenye vyombo vya sheria
kwa hatua zaidi
-
Aidha, kwa upande mwingine, Waziri Ummy amesema kuwa Watoto hao baada ya kuhojiwa wamesema walikubali kufanya hivyo ili kukwepa mimba
-
Amewataka Wazazi kuzungumza na Watoto pamoja na kufuatilia nyendo zao
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad