AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jinsia na Watoto amesema kuwa watu hao wamekamatwa baada ya Jeshi la Polisi kufanya msako
-
Uchunguzi sakata hilo bado unaendelea na utakapokamilika Watuhumiwa hao watafikishwa kwenye vyombo vya sheria
kwa hatua zaidi
-
Aidha, kwa upande mwingine, Waziri Ummy amesema kuwa Watoto hao baada ya kuhojiwa wamesema walikubali kufanya hivyo ili kukwepa mimba
-
Amewataka Wazazi kuzungumza na Watoto pamoja na kufuatilia nyendo zao
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK