Waziri Lugola Afunguka Haya Kuhusu Kutekwa kwa Mo Dewji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Lugola Afunguka Haya Kuhusu Kutekwa kwa Mo Dewji
WAZIRI Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola leo amezungumzia na wanahabari jijini Dar es Salaam na kusema kuwa nchi ipo salama na watanzania waendelee na shughuli zao za kijamii, kiuchumi na kisiasa kwani serikali imejipanga vizuri katika kushughulikia matukio yeyote ya uhalifu yanapojitokeza.



Pia amesema mpaka sasa watu 20 wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya uchunguzi kufuatia tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji jijini Dar es Salaam. Sababu ya kutekwa kwa MO itafahamika pale tu jeshi la polisi litakapompata yeye na kueleza kisa cha kutekwa kwake.



Au itafahamika kirahisi endapo watekaji watakamatwa na kubanwa kuelezea juu tukio hilo.

Watanzania wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa uangalifu na kuacha kusambaza habari zisizo za kweli na taarifa zozote zinazohusu matukio ikiwemo ya upoteaji wa watu zitatolewa na mamlaka za serikali ikiwemo Jeshi la polisi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad