Waziri Majaliwa Amtumbua Afisa Forodha kwa Tuhuma za Biashara ya Magendo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Majaliwa amtumbua afisa forodha kwa tuhuma za biashara ya magendo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amuagiza Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera, Adam Ntogha kumsimamisha kazi Afisa wa Forodha katika mpaka wa Mulongo Peter Mtei kwa tuhuma za kujihusisha na biashara za magendo.



Kwa mujibu wa Azam tv, Majaliwa amesema kuwa biashara za magendo zimekuwa zikifanyika bila kuchukua hatua jambo ambalo linatia haibu.

“Biashara za magendo zinafanyika bila ya wao kuchukua hatua, mnatia aibu yaani hakuna kazi inayofanyika,”

”Viongozi wa wilaya ya Kyerwa mjipime wenyewe, mialo mingi katika wilaya yenu inatumika kwa biashara ya magendo na butura.”

Waziri Mkuu aliongeza kuwa katika mwalo wa Mulongo ulipo kwenye eneo ambalo Tanzania inapakana na nchi za Uganda na Rwanda, biashara za magendo na butura zinafanyika na hakuna kiongozi wanaochukua hatua.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad