AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo imekuja mara baada ya wadau ambao wameonesha nia ya kusafiri na timu kutaka kujua mapema gharama zitakuwaje ili waweze kujipanga.
Mwakyembe amesema tayari wameshatuma mtu ambaye ataenda kufuatilia hoteli hizo ambazo zitakuwa na gharama nafuu zitakazoweza kumudu mashabiki ambao watasafiri.
Waziri huyo anaamini watu watajitokeza kwa wingi kuungana na Stars ili kuipa hamasa kwenye mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu na watanzania wengi.
Aidha, Shirikisho la Soka nchini (TFF) limezidi kuwataka wadau kujitokeza kwa wingi kununua tiketi za ndege ili wakaipe hamasa timu ya taifa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK