AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo October 18,2018 Wema Sepetu amewakumbusha mashabiki msemo unaosema mapenzi ni upofu na kwa upande wake haoni,ujumbe huu ameuandika baada ya kupost video clip akiwa na mwanaume huyo ambaye hadi kwa sasa hajatambulika jina lake halisi.
Wema Sepetu amezidi kusisitiza kupitia ukurasa wake wa instagram kuwa kwa sasa alipo anafuraha na amechoshwa na maneno ya watu ya kila siku na kusema kuwa mangapi yamesemwa juu yake.
“Wanasema mapenzi ni upofu na ninafikiri siwezi kuona, nakupenda mpenzi na hichi ndicho cha muhimu sisi dhidi ya dunia na iwe tu, Nimeshachoka mangapi yamesemwa bwana? bora nibaki nae tu, ananifanya niwe na furaha hata iweje” >>>Wema Sepetu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK