AJALI: Watu 3 wamefariki na 16 kujeruhiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


AJALI: Watu 3 wamefariki na 16 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Rungwe Express na gari dogo la abiria katika maeneo ya Iyovi mkoani Morogoro

Kamanda wa Polisi Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema uchunguzi unaendelea kujua chanzo

Basi la Rungwe Express lilikuwa linafanya safari zake kati ya Mbeya na Dar na gari dogo lilikuwa likifanya safari zake kati ya Iringa na Morogoro
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad