AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amber Rutty amesomewa mashtaka mawili, moja la kukubali kuingiliwa kinyume na maulimbe na kosa la pili ni kusababisha kusambaa kwa picha za ngono.
Mtuhumiwa wa tatu ni James Delicious ambaye naye amesomewa shtaka moja la kusambaza video za ngono mtandaoni ambapo amekataa shtaka hilo.
#Bongo5Updates Msanii wa muziki, Amber Rutty akiwa na mpenzi wake wamefikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es salaam kwaajili ya kusikiliza kesi inayomkabili ya kusambaza video zao za ngono Mtandaoni. pic.twitter.com/Bis6m2Pwr9— bongo5.com (@bongofive) November 2, 2018
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK