AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ay anasema kuwa kampuni nyingi wamekuwa wakidata maneno yanayotumiwa na watu mitaani kwa ajili ya kufanyia biashara bila kuwa na ruhusa ya mzalishaji wa nene hilo lakini kikubwa ni kuwa kuna kuwa hakuna hati miliki ya neno hilo na ndio maana inakuwa sio faida kwa wasanii baadhi.
Ay anasema kuwa Dudu baya afanye mchakato wa kusajili neneo hilo kabla halijadakwa na makampuni makubwa kibiashara.
Dudu baya akitaka kutisha bsi akasajili slogan yake maana si mnayajua makampuni makubwa ya mawasiliano kwa kudandia misemo…PATA OFFER KONKI mfikishien ujumbe wangu -Aliandika AY
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK