Barnaba atoa tahadhari kwa wasanii wa kike “Hamisa Mobetto anakuja kuwanyang’anya kijiti”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barnaba atoa tahadhari kwa wasanii wa kike “Hamisa Mobetto anakuja kuwanyang’anya kijiti”
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba amefunguka na kutoa ya moyoni kwa kuwaasa wasanii wa kike wa muziki wa kizazi kipya alimaarufu Bongo Fleva kuhusu uwajibikaji wao katika muziki wahofie kupokonywa kijiti na msanii mwenzao ambaye anafanya vizuri na kibao chake kipya cha ‘Tunaendana’ mwanadada Hamisa Mobetto.


akiongea hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram barnaba amefunguka hayo kwa kutoa maoni yake chini ya post ya Hamisa ambayo alipost nyimbo yake hii mpya na Barnaba kuandika kuwa:-

” Yani hala hala sana kabisa hii sauti kila hatua na sekunde zinavyozidi kugonga ndo inazidi kukomaa,narudia tena hala hala sana kwa walioshikilia vijiti wawezapokonywa vijiti”



Hamisa Mobetto ameachia video ya wimbo wake wa ‘Tunaendana’ ikiwa ni wimbo wake wa pili baada ya wimbo wa Madame hero kufanya vizuri na kufanikiwa kupata nafasi ya kufanya show nje ya nchi hasa nchini Marekani.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad