Davina Afuata Nyayo za Wolper na Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Davina Afuata Nyayo za Wolper na Shilole
MSANII wa kitambo kwenye tasnia filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amesema kuwa kwa sasa hakuna staa ambaye anayejielewa na ‘anafuga kucha’ zaidi ya kuchakarika na kazi za kumuingizia kipato.

Akizungumza na Amani, Davina alisema kuwa amesahau hata lini ameenda saluni kwa ajili ya kutengeneza kucha kama ilivyokuwa huko nyuma maana kutwa anashinda jikoni kwa ajili ya kupika chakula cha

kuwauzia wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). “Sidhani kama sasa hivi yupo staa anakumbuka kwamba kuna kwenda saluni kuoshwa au kupakwa rangi kama ilivyokuwa huko nyuma, kwa kweli mimi ni jiko na mimi kila wakati,” alisema Davina.

Davina amefuata nyayo za wasanii wa kike waliojikita kwenye ujasiriamali akiwemo Shilole ambaye ana mgahawa, Wolper ambaye anashona nguo mbalimbali na wengineo.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad