AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiwa kama moja ya ma-miss waliopita na kufanikiwa sana lakini pia kujiweka mbali na mambo yanayiweza kuchafua historia yake, faraja amaemuombea wema ujasiri na pia Mungu amuongoze na kumtoa katika anayoyapitia.
Faraja aliandika ‘sote ni wakosefu mbele zake, I believe in the power of redemption, i beleieve in second chance, lets us forgive and be forgiven, nimekuwaza kwa sauti mdogo wangu wema ,Mungu atupe neema zake.”
Faraja na kundi lake la ma-miss miaka ya nyuma kidogo wamekuwa kundi bora la wanawake waliopitia katika ulimwende na kufanikiwa katika maisha yao na jamii zinazowazungiuka kwa ujumla huku watu wengi wakimpigia kelele wema kufuata mfano wao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK