Faraja Amfariji Wema Wakati Wengine Wakimsema Vibaya'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakati Wengine Wakimsema Vibaya, Faraja Amfariji Wema
wakati baadhi ya watu na hata wasanii wenzake wakimsema na wakitaka mwanadada Wema Sepetu achukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu pia, mwanadada   Faraja Nyarandu amefunguka na kuonekana kuguswa na yanayoendelea katika maisha a mwanadada wema na kumfariji kwa hili analolipitia kwa sasa.

Akiwa kama moja ya ma-miss waliopita na kufanikiwa sana lakini pia kujiweka mbali  na mambo yanayiweza kuchafua historia yake, faraja amaemuombea wema ujasiri na pia Mungu amuongoze  na kumtoa katika anayoyapitia.

Faraja aliandika ‘sote ni wakosefu mbele zake, I believe in the power of redemption, i beleieve in second chance, lets us forgive and  be forgiven, nimekuwaza kwa sauti mdogo wangu wema ,Mungu atupe neema zake.”

Faraja na kundi lake la ma-miss miaka ya nyuma kidogo wamekuwa kundi bora la wanawake waliopitia katika ulimwende na kufanikiwa katika maisha yao na jamii zinazowazungiuka kwa ujumla huku watu wengi wakimpigia kelele wema kufuata mfano wao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad