Juma Nature atoa neno kwa ‘Afande Sele’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

uma Nature atoa neno kwa ‘Afande Sele’
Mkongwe wa Bongo Fleva Sir Juma Nature amefnguka na kutoa neno kwa mkongwe mwenzake katika tasnia ya Bongo Fleva Simba wa Morogoro Afande Sele.



Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nature ameandika ujumbe huo kitu ambacho kinahusishwa na tamasha la Wasafi Festival ambalo linatarajia kufanyika wikiendi hii likitoka mjini Iringa.



Juma Nature kwa asilimia kubwa atakuwepo kwenye tamsha hilo kutokana na kauli aliyoitoa mmoja wa mameneja wa Diamond Mkubwa Fela baada ya kusema ” Mwanangu Juma Nature Kiroboto atakuwepo kwenye Wasafi Festival ya Iringa na Morogoro”

Nature kuitia ukurasa wake wa Instagram ameandika “Mjomba andaa magimbi matamu mwenye chuki anaendelea nachukizake.”


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad