AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mdau wa JamiiForums anasema amewahi kudhani kuwa fedha na sarafu za Tanzania zinatengenezwa kwa ubora wa kiwango duni na zinaachwa kwenye mzunguko kwa muda mrefu
Anasema kuwa Watanzania wanakunja noti bila ya mpangilio, noti zinahifadhiwa kwenye vifua(Wanawake) na wengi hawatumii 'pochi' kuhifadhi fedha
Kuna wafanyabiashara wanashika fedha huku wakiwa na mikono michafu mfano, wauza vimiminika kama mafuta, nyama, nafaka na Mkaa
Madhara ya uchafuzi huu ni makubwa kwani noti zinachakaa na kuilazimisha Serikali kuingia gharama za kuchapicha noti mpya
Mdau anaishauri Benki Kuu(BoT) ifanye mkakati wa kutoa elimu kwa umma juu ya njia bora ya kuhifadhi fedha na sarafu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK