Noti za Tanzania ni Chafu Sana, BOT iingilie Kati na Kutoa Elimu ya Utunzaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mdau wa JamiiForums anasema amewahi kudhani kuwa fedha na sarafu za Tanzania zinatengenezwa kwa ubora wa kiwango duni na zinaachwa kwenye mzunguko kwa muda mrefu

Anasema kuwa Watanzania wanakunja noti bila ya mpangilio, noti zinahifadhiwa kwenye vifua(Wanawake) na wengi hawatumii 'pochi' kuhifadhi fedha

Kuna wafanyabiashara wanashika fedha huku wakiwa na mikono michafu mfano, wauza vimiminika kama mafuta, nyama, nafaka na Mkaa

Madhara ya uchafuzi huu ni makubwa kwani noti zinachakaa na kuilazimisha Serikali kuingia gharama za kuchapicha noti mpya

Mdau anaishauri Benki Kuu(BoT) ifanye mkakati wa kutoa elimu kwa umma juu ya njia bora ya kuhifadhi fedha na sarafu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad