PCK Amtisha wema Wuvujisha Picha nyingine Kama Hatofunga Nae Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume aliyesema kuwa alimtapeli mwanadada wema sepetu hata baada ya kumtangaza kuwa ndie angetakiwa kuwa mme wake amemtumia smsm nyingi za kitisho mwanadada wema sepetu kwa kumwambia kuwa kama atakuwa na wazo la kuhairisha kufunga  nae ndoa basi hakutakuwa na maelewano kati yao.

mwanadada huyo ambae kwa sasa yupo katika wakati mgumu hasa baada ya video zake akiwa na mwanaume huyo kuvuja anajikuta katika wakati mgumu tena kwa sababu mwanaume huyo bado amemtisha kuwa amekuwa na picha zake nyingi ambazo yeye hakuwahi kujua kama anazo na kama atakaa kuolewa nae basi atamchafua na picha hizo.

katika maongezi hayo ambayo yamevuja katika mitandao, mwanaume huyo anamwambia wema kuwa kitu cha kufanya kwa sasa ni kujitahidi kufunga nae ndoa kwa sababu yeye anamtaka wema na sio kitu kingine.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad