Peter Msigwa: Siuzi gari yangu, waliotangaza ni wahuni tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Peter Msigwa amekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa gari yake inauzwa kutokana na hali ngumu ya maisha.

Katika mtandao wake wa kijamii, Msigwa ameweka picha ya gari hilo na namba za gari hilo na kuandika kuwa “Gari hili la Mh. Msigwa haliuzwi”

Akizungumza na mwandishi wa habari wa Dar24Media kwa njia ya simu, Msigwa amesema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote, hivyo zinapaswa kupuuzwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad