AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Gadiel Michael, Kelvin Yondani, Juma Mahadhi, Baruan Akilimali pamoja na Beno Kakolanya hawatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kitakachocheza dhidi ya JKT Tanzania kwa kuwa wapo ambao ni majeruhi pamoja na sababu nyingine.
"Papy Tshishimbi tayari ameanza mazoezi ila hatakuwa na nafasi ya kuanza kutokana na kutokuwa fiti kwa asilimia kubwa,mchezo utakuwa mgumu ila tunahitaji pointi tatu," alisema.
Yanga wamekuwa na mwendelezo mzuri kwenye michezo waliyocheza ligi kuu mpaka sasa kwani katika michezo 12 waliyocheza wametoa sare 2 na kushinda michezo 10, wamefikisha pointi 32.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK