Wachezaji Hawa wa Yanga Kuikosa JKT Tanzania Kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wachezaji Hawa wa Yanga Kuikosa JKT Tanzania Kesho
 Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa yupo tayari kupambana na JKT Tanzania kesho katika mchezo wa ligi kuu ila atawakosa wachezaji wake sita wa kikosi cha kwanza.

"Gadiel Michael, Kelvin Yondani, Juma Mahadhi, Baruan Akilimali pamoja na Beno Kakolanya hawatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kitakachocheza dhidi ya JKT Tanzania kwa kuwa wapo ambao ni majeruhi pamoja na sababu nyingine.

"Papy Tshishimbi tayari ameanza mazoezi ila hatakuwa na nafasi ya kuanza kutokana na kutokuwa fiti kwa asilimia kubwa,mchezo utakuwa mgumu ila tunahitaji pointi tatu," alisema.

Yanga wamekuwa na mwendelezo mzuri kwenye michezo waliyocheza ligi kuu mpaka sasa kwani katika michezo 12 waliyocheza wametoa sare 2 na kushinda michezo 10, wamefikisha pointi 32.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad