Alikiba Arudi Kwenye Soka Apewa Programu Maalum Coastal Union

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alikiba Arudi Kwenye Soka Apewa Programu Maalum Coastal Union
Mchezaji na Mfadhili  wa Timu  ya  Coastal Union, Wagosi wa kaya Ally Salehe Kiba (AliKiba) amesema kwasasa yupo tayari kuitumikia Klabu hiyo mara baada ya kumaliza majukumu  yake ya kimuziki ndani na nje ya nchi hivyo kwasasa anatekeleza programu za mwalimu ambaye  ndiye anajua nini anapaswa kufanya ili kujenga team work baada ya kukosekana kwa muda mrefu.

Naye Kocha wa Timu hiyo ya Wagosi wa kaya Juma Mgunda amesema kwasasa Kiba  anaprogramu maalumu ambayo kama ataifanya vizuri anauwezo wa kuingia katika kikosi cha kwanza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad