Fid Q, Steve Nyerere wampa Pole Daimond Baada ya Kuanguka Stejini Sumbawanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Fid Q, Steve Nyerere wampa Pole Daimond Baada ya Kuanguka Stejini Sumbawanga
Msanii wa muziki, Diamond Platnumz Jumapili hii alipata matatizo ya kuanguka stejini katika tamasha la marudio la Wasafi Festival lililofanyika Jumapili hii.



Walifanya show hiyo ya marudio baada ya Jumamosi iliyopita kushindwa kufanya show kutokana na mvua kubwa kunyesha.

Siku ya Jumapili hii Diamond alipanda kwenye steji na wasanii wenzake lakini kwa bahati mbaya alianguka stejini wakati wakiimba wimbo, Zilipendwa. Muimbaji huyo mpaka sasa anaendelea vizuri kwani hakuumia sana kwamijibu wa taarifa aliyoitoa.

“Hakika Mchezo Usiuchezee….SUMBAWANGA Mmenishinda Tabia jamani @rayvanny @mbosso_ …..ZANZIBAR!!! ZANZIBAR!!! Tukutane Uwanja wa AMANI siku ya JUMANNE ya Kesho kutwa tateh

Baada ya post hiyo wasanii na wadau mbalimbali wamempatia pole muimbaji kwa ajali aliyoipata. Hawa ni baadhi ya wasanii waliotoa pole.

Fareed Kubanda

“Poleni wana.. Siku zote hakuna kazi isiyokua na changamoto.. ALUTA CONTINUA!! 🙏🏾”

Soudy Brown

“Tuweke u #shilawadu pembeni, pole sana muuza Karanga, Pole na maumivu Pole kwa Ajali, I Hope unaendelea Vizuri Show kama hizi zinahitaji…
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad