Maafa: Mvua Yasababisha Kaya 336 Kukosa Makazi, Mmoja Afariki na 49 Wajeruhiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kaya hizo ni za kijiji cha Kipeta huko Sumbawanga Mkoani Rukwa. Mvua hiyo iliyoambata na upepo imeezua mapaa ya nyumba zao

Mvua hiyo ilianza kunyesha usiku wa kuamkia leo na inakadiriwa kudumu kwa muda wa dakika 45

Aliyefariki aliangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwemo na majeruhi wamefikishwa katika Zahanati ya Kipetana Kilyamatundu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad