AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kaya hizo ni za kijiji cha Kipeta huko Sumbawanga Mkoani Rukwa. Mvua hiyo iliyoambata na upepo imeezua mapaa ya nyumba zao
Mvua hiyo ilianza kunyesha usiku wa kuamkia leo na inakadiriwa kudumu kwa muda wa dakika 45
Aliyefariki aliangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwemo na majeruhi wamefikishwa katika Zahanati ya Kipetana Kilyamatundu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK