BAADA ya kipande cha video kikimuonyesha Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT.Tulia Ackson na wenzake wakicheza wimbo wa Rayvany akiwa na Diamond Platnumz uitwao Mwanza ambao umefungiwa, Global V, imezungumza na katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mungereza kuhusiana jambo hilo ambalo limeiteka mitandao ya kijamii hapa nchini, na hii ndiyo kauli ya BASATA.
BASATA WAFUNGUKA NAIBU SPIKA KUCHEZA ‘NYEGEZI’ – VIDEO
TAZAMA VIDEO:
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: