Yanga Yateua Viongozi Wapya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga Yateua Viongozi Wapya
Kikao cha Kamati tendaji ya klabu ya Yanga kilichokaa leo asubuhi kimewateua Samuel Lukumay kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Klabu hiyo huku Siza Lyimo akiteuliwa kuwa Kaimu Makamu Mwenyekiti.



Uteuzi huo umefanyika kwa ajili ya kusuburia uchaguzi wa kujaza nafasi utakaofanyika January 13 2019.

Kamati hiyo imefikia maamuzi hayo kutokana na nafasi hizo kuwa wazi jambo ambalo liliwa ugumu kwa baadhi ya shughuli ndani ya klabu kwenda sawa.



Wakati huohuo ukiachana na uteuzi, kikosi cha Yanga kimeondoka leo Dar es Salaam kuelekea Mbeya kwa ajili ya mechi ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons.

Yanga itapepetuana na Prisons Jumatatu ya wiki ijayo katika Uwanja mkongwe wa Sokoine jijini Mbeya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad