AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uteuzi huo umefanyika kwa ajili ya kusuburia uchaguzi wa kujaza nafasi utakaofanyika January 13 2019.
Kamati hiyo imefikia maamuzi hayo kutokana na nafasi hizo kuwa wazi jambo ambalo liliwa ugumu kwa baadhi ya shughuli ndani ya klabu kwenda sawa.
Wakati huohuo ukiachana na uteuzi, kikosi cha Yanga kimeondoka leo Dar es Salaam kuelekea Mbeya kwa ajili ya mechi ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons.
Yanga itapepetuana na Prisons Jumatatu ya wiki ijayo katika Uwanja mkongwe wa Sokoine jijini Mbeya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK