Bunge lasitisha kufanya kazi na CAG, Spika Ndugai aeleza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kwa sasa Bunge limesitisha kufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad. 

Kutokana na hali hiyo amewataka wajumbe wa kamati za Bunge za PAC na LAAC kufanya kazi katika kamati nyingine. 

Hatua hiyo imefikiwa baada ya CAG kutoa kauli na kueleza kuwa Bunge kimekuwa dhaifu na kutakiwa ufika mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujieleza. 

Utakumbuka hivi karibuni CAG alizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa na kusema,'Kama tunatoa ripoti zinaonyesha kuna ubadhirifu halafu hatua hazichukuliwi, hupo kwangu ni udhaifu wa Bunge,'. 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad