DC Jokate ambaye ni shabiki wa Yanga, awapongeza Simba SC kwa ‘jicho la husda’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe. Jokate Mwegelo ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi mnono wa goli 3-0 dhidi ya waarabu kutoka Algeria, JS Saoura .


Kwenye pongezi hizo, DC Jokate amewatumia pongezi kwa ushindi huo, huku akitumia jina la Watanzania.

“Kama shabiki wa Yanga nawapongeza Watanzania wenzetu kwa ushindi huu muhimu Mungu Ibariki Tanzania.“ameandika Jokate kwenye ukurasa wake wa Twitter .

DC Jokate ni shabiki wa kutupwa wa Klabu ya Yanga. Jana simba ilipata ushindi huo muhimu kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya Klabu Bingwa barani Afrika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad