Ebitoke Aliponda Penzi la Ben Pol na Anerlisa "Analelewa Tu Hamna Cha Zaidi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ebitoke Aliponda Penzi la Ben Pol na Anerlisa "Analelewa Tu Hamna Cha Zaidi"
Mchekeshaji Ebitoke ameponda vikali mahusiano ya Ben Pol na mrembo Anerlisa kutoka nchini Kenya.Utakumbuka Ebitoke aliwahi kugonga vichwa vya habari vilivyo kwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Ben Pol.

Akizungumza na Wasafi TV amesema anamuona Ben Pol kama mwanaume anayelelewa tu hakuna zaidi ya hapo.

"Mimi sijisikii vibaya kwa sababu yule namuona kama kibenteni ninabaki nacheka, mtu unakula bata, unapelekwa Dubai kwa hela gani, wewe siunalelewa mbeba pochi tu," amesema Ebitoke.

Kipindi cha nyuma mahusiano ya Ben Pol na Ebitoke yaliwapa raha wapenda udaku kwa namna alivyokuwa yakiripotiwa kila mara kwenye vyombo vya habari. Walienda mbali hata Ben Pol kumshirikisha Ebitoke kwenye wimbo wake uitwao Tuliza Boli, hata hivyo yote hayo yamebaki historia kwa sasa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad