Kakolanya Afunguka Upya Suala lake na Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kakolanya Afunguka Upya Suala lake na Yanga
Baada ya kuomba kuvunjiwa mkataba wake na uongozi wa klabu ya Yanga, mlinda mlango, Beno Kakolanya, amesema hawezi kuzungumza lolote kwa sasa bali anamwachia Wakili wake.

Kakolanya ambaye alitua Yanga akitokea Tanzania Prisons, amesema tayari Wakili wake ameshakamilisha kupeleka barua Yanga na kilichobaki kitasimamiwa na Mwanasheria huyo.

Kakolanya na Wakala wake waliamua kukaa chini na kuamua kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba kutokana na timu yake kushindwa kumlipa stahiki ikiwemo mshahara.

Tayari Yanga imekiri kupokea barua hiyo ambayo wamesema nao wataijibu kisheria, ambapo wamemtaka Kakolanya na Wakili wake wasubirie majibu hayo ya kisheria.

Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti, Samuel Lukumay, amefunguka kwa kukiri kuipokea barua hiyo ambayo wataitolea majibu siku yoyote kuanzia leo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad