Kigwangala Amkumbuka Ruge Amuombea Apone Haraka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kigwangala Amkumbuka Ruge  Amuombea Apone Haraka
Waziri wa Maliasilii na Utalii, Dkt. Dkt. Hamisi Kigwangalla amemtakia heri Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba ambaye kwa sasa anapatiwa matibabu.

Dkt. Hamisi amenukuu maneno ya Ruge Mutahaba ambayo aliwahi kuyatoa siku za nyuma.

"Mara nyingi wanaokupenda hawasemi, na wanaokuchukia hawakujui. Bahati mbaya sana, wanaichukia perception, lile wazo tu," Dkt Kigwangalla amemnukuu Ruge.

"Leo nimeamka nakukumbuka. Nakuombea dua, upone haraka mtu mwema," ameeleza Dkt. Kigwangalla kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Ruge Mutahaba alitoa kali hiyo mwaka 2015 katika mahojiano na Mtangazaji Salama Jabir kwenye
kipindi chake Mkasi kilichokuwa kikiruka EATV kwa wakati huo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad