AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa Yanga na hivi sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro, amewapa pongezi Simba baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura ya Algeria katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Muro ameandika hayo katika ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa hatua waliyofikia Simba imewatoa kimasomaso watanzania wote baada ya ushindi huo.
"Tuna kila sababu ya kusimama pamoja kama taifa na kuipongeza sana Simba, hakika mmetutoa kimasasomaso watanzania, ndugu yangu Haji Manara hongera, hamasa yako imekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani. This Is Amazing And Fantastic" - alisema Muro
Aidha, Muro amempongeza Msemaji wa Simba, Haji Manara kwa namna anavyojitoa kutia hamasa na morali kwa mashabiki wa Simba na kuwa sababu au chachu ya matokeo mazuri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK