Majungu, fitina na chuki Vyamkera RC Paul Makonda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majungu, fitina na chuki Vyamkera RC Paul Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaa, Paul Makonda amesema kuwa moja ya vitu vinavyomkera katika Mkoa wa Dar es salaam ni namna ambavyo watu wengi wamekuwa wakitumia muda mwingi kuwasema wenzao huku wao wakiwa hawafanyi kazi.

Paul Makonda ametoa kauli hiyo Jijin Dar es salaam katika hafla aliyoalikwa na Msemaji wa Klabu ya Soka ya Simba Haji Manara iliyofanyika wa kuamkia usiku wa leo ambapo viongozi mbalimbali walishiriki.

"Afrika kwa miaka mingi ina laana ya umasikini na imepokelewa kwa muda mrefu na sisi tumepokea laana hii na ukitaka kujijua una laana ni pale unanuna mwenzako akiwa amefanikiwa.

"Sisi ndiyo tunaongoza kurogana wenyewe kwa wenyewe, ila kwa mjini uchawi ni majungu fitina na chuki ili mtu akwame", alisema  Makonda na kuongeza;

"Kuna watu tumewakuta kazi yao kusema amekuja hapa hajui kuvaa, je wewe uliyekuwepo umefanya nini? kuna watu wako mjini kwa maneno tu hatuwezi kupiga hatua kwa kupigana majungu."

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad