AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Paul Makonda ametoa kauli hiyo Jijin Dar es salaam katika hafla aliyoalikwa na Msemaji wa Klabu ya Soka ya Simba Haji Manara iliyofanyika wa kuamkia usiku wa leo ambapo viongozi mbalimbali walishiriki.
"Afrika kwa miaka mingi ina laana ya umasikini na imepokelewa kwa muda mrefu na sisi tumepokea laana hii na ukitaka kujijua una laana ni pale unanuna mwenzako akiwa amefanikiwa.
"Sisi ndiyo tunaongoza kurogana wenyewe kwa wenyewe, ila kwa mjini uchawi ni majungu fitina na chuki ili mtu akwame", alisema Makonda na kuongeza;
"Kuna watu tumewakuta kazi yao kusema amekuja hapa hajui kuvaa, je wewe uliyekuwepo umefanya nini? kuna watu wako mjini kwa maneno tu hatuwezi kupiga hatua kwa kupigana majungu."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK