AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na wanafunzi hao leo ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika ukaguzi wa shule 3 zinazojengwa, walimweleza kuwa wanahitaji vifaa vya michezo, vifaa kwaajili ya bendi ya shule, pedi na feni.
''Wakati natoka kijiji cha Masaki nikapita Kijiji cha Kibuta na kukagua ujenzi wa shule 3 kati ya 10 ambazo tumeanza kuzijenga kama zao la kampeni yetu ya Tokomeza Zero Kisarawe. Wakaja wanafunzi wote wakaniambia niwaletee vifaa vya bendi, jezi na vifaa vya michezo, pedi na feni'', amesema Jokate.
Aidha amesema anafanya hivyo ili kuwafanya wanafunzi wawe huru kumweleza changamoto zao na amezipokea na kuahidi kuwa atatekeleza kama walivyomuaru kwakuwa yeye ni mtumishi wa wananchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK