Povu La Chuchu Hans Baada Ya Kuachana na Ray

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muigizaji wa Bongo movie Chuchu Hansy ameibuka na kumwaga povu zito kwa mashabiki ambao wamekuwa wakimuandama na kumponda kwenye mitandao ya kijamii.

Wiki iliyopita habari zilisambaa kwenye Mitandao ya kijamii kuwa Chuchu na baba Watoto Wake Msanii wa Bongo movie Vicent Kigosi ‘Ray’ wameachana.



Baada ya habari hizo kusambaaa Chuchu aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram iliyomuonyesha akiwa amevaa kibukta kigumu huku kikiacha sehemu kubwa ya mapaja yake na tumbo nje.

Baada ya picha hiyo mashabiki walimsema Chuchu kuwa anafanya hayo kwa sababu ameachna na Ray hivyo anataka kujionyesha huku  wengine wakimtolea maneno machafu.



Chuchu alishindwa kujizua na kumwaga povu zito kwa watu wote ambao walimsema na kuwataka waache kumpangia maisha ya kuishi kwani hawamsaidii kwa lolote wala kwa Chochote.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad