Tanzia: Muigizaji Mama Abdul afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Maigizo, Salome Nonge (Mama Abdul) amefariki dunia.

Mama Abdul alishawahi kuigiza filamu ya KIGODORO 'kantangaze'  iliyoandaliwa na Zamaradi Mketema.


Mtangazaji, Zamaradi kupitia ukurasa wake wa Instagramu ameandika "Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa SALOME NONGE maarufu kama MAMA ABDUL."

"Kwa wasiomfahamu kama uliwahi kuangalia filamu ya KIGODORO 'kantangaze' nilibahatika kufanya nae kazi enzi za uhai wake, lakini pia kwa ambao hawajabahatika kuona filamu hiyo unaweza kumuona kupitia tamthilia ya MWANTUM kwenye stesheni ya Magic Swahili DSTV," aliandika Zamaradi huku akimalizia hiv; MUNGU amuweke mahala pema peponi Mama Abdul' Inalillahi wainailaihi Rajiun'

Kwa upande wake mama yake mzazi Monalisa ambaye anajulikana kama Natasha Mamvi ameandika  TANZIA;RAFIKI YANGU KIPENZI.MZAZI MWENZANGU.MWIGIZAJI MWENZANGU SALOME NONGE (MAMA ABDUL) AMEFARIKI. NI PENGO AMBALO HALITAZIBIKA KAMWE.RIP MAMA ABDUL.

Naye Monalisa ameandika," Mama Abdul Jamani, Pumzika kwa amani tutakukumbuka daima."

Joti naye ameandika R.I.P Mama Abdull.Mimi mwanao Sina cha kuongea zaidi ya kukuombea upate mwanga wa milele, Pumzika kwa amani mama."

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad