AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Tessy amesema kwamba ukaribu wake na Uwoya ni upendo tu uliopo baina yao, na pia humpa ushauri wa mambo mbali mbali ya maisha na sio mahusiano tu.
“Ni upendo tu tuliokuwa nao, tunaheshimiana, tunafanya vitu vingi, tunashauriana vitu vingi vya kimaendeleo, ukiacha mahusiano, mahusiano ni vitu private, hasa hasa ni katika maendeleo kwa sababu hapendi kuona anguko langu, yeye ni mkubwa kwangu amenizidi miaka mingi hivyo hunishauri”, amesema Tessy.
Hivi karibuni baadhi ya watu mitandaoni wamedai kwamba ukaribu uliopo baina ya wawili hao hasa baada ya Tessy kuachana na Aslay, ni kutafutiana wanaume, kwani wawili hao hawafanani kiumri kiasi cha kuwa marafiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK