Faida za Kutumia Mfumo Mpya wa Anwani Mpya za Kitaifa na Postal Code

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzania imeanzisha mfumo wa anwani mpya za kitaifa na postikodi ambao ni mfumo maalum wa
alama, tarakimu na herufi inayotambulisha eneo au mahali mtu anapoishi au kufanyia shughuli zake.

Kama sehemu ya utekelezaji wa mfumo huu, makazi ya watu yanapewa namba ili kutambulika na kufikiwa kwa urahisi.

Nakuwekea baadhi ya faida za mfumo huu ni:
1. Kurahisisha kufikiwa kwa maeneo mengi kwa ajili ya huduma mbalimbali.
2. Kuwezesha kupanga na kusimamia mipango mahsusi ya kutoa huduma kwa wananchi.
3. Kurahisisha utoaji wa huduma za dharura kama vile uokoaji na kukabiliana na maafa.
4. Kuongeza ufanisi katika usimamizi wa makazi ya watu.
5. Kurahisisha mawasiliano kati ya Serikali na wananchi kwa makusudi mbali mbali.
6. Kuimarisha utawala bora
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad