AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa imeelez kuwa kauli hiyo ilitolewa baada ya FIFA kutangaza itaanza kuipa Tanzania fedha za maendeleo ambazo kwa muda wa mikaa mitatu ilisitisha kuzitoa baada ya TFF kushindwa kuwasilisha ripoti nzuri ya mapato na matumizi.
Aida, taarifa hiyo imesema kuwa Karia ameeleza fedha hizo zitaelekezwa katika program za vijana na ugawajwi wake kwa vilabu utazingatia utekelezai ambao utaonekana kuwa wazi.
Karia alisema moja ya vipaumbele vyake alivyoviweka ni kuhakikisha anakuza soka la vijana ambapo hivi sasa tayari mipango mikakati imeshaanza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK