Halima Mdee Aachiwa Kwa Dhamana Baada ya Saa 24

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bunge huyo wa Kawe kupitia CHADEMA alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar‬ tangu jana

Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya maeneo ya Mikocheni jijini Dar Februari 21‬, 2019

Jana, Mdee kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika kuwa ameitwa kituoni hapo kwa mahojiano na baada ya mahojiano alikamatwa na kuwekwa mahabusu na kisha kunyimwa dhamana 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad