Linex Ajutia kutoonana na Godzilla Kabla ya kifo chake.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii Linex Sunday Mjeda amefunguka na kuonyesha jinsia alivyoguswa na msiba wa msanii Godzilla hasa baada ya kujutia uamuzi wake wa kutotaka kuonana nae kabla ya kifo chache.

Linex anasema kuwa , msanii mwenzake huyo alitaka kuonana siku kama tatu kabla ya kifo chake lakini alimuomba wakutane siku nyingine kwa sababu alikuwa na kazi nyingine hivyo wakapanga kukutana siku nyingine lakini cha ajabu ni kwamba amefariki kabla hata hawajakutana.

Linex anasema “Niliongea na zilla wiki moja kabla na alinitaka tukutane, wiki iliyopita alinipigia tena akaniomba nionane nae alipolakini kutokana na ratiba zangu nilishindwa kukutana nae , sijui alitaka kuniambia nini.Mungu ampumzishe mahali salama. “

Kifo cha msanii huyo kimetia simanzi sana hasa kutokana na kifo chake cha ghafla kilitomuacha kila mtu akishanga.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad