Mama yake Godzilla alimuomba msaada Mwasiti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mwasiti amesema kwamba kutokana na jambo hilo akawa karibu sana na familia ya Godzilla, na kushirikiana kwenye masuala mbali mbali.

“Ilikuwa benki mjini, Godzilla alikuwa amekuja na mama yake, akaniambia napenda unavyoimba, ningependa pia umshike mkono mdogo wako na yeye aishi katika mazingira mazuri na kufanya kazi, nikamwambia sawa, mama, kuanzia hapo tukawa karibu sana kama familia, tulikuwa tunaongea mambo mengi sana”, amesema Masiti.

Ikumbukwe kwamba Mwasiti ni mmoja wa watu ambao walikuwa karibu sana na Godzilla, na kuweza kufanya kazi pamoja huku wakiwa na mlengo ya kuachia album ya pamoja.

Godzilla amefariki dunia juzi Februari 13, na anatarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi, Februari 16 katika makaburi ya Kinondoni.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad