AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simon Msuva usiku wa Jana amefunga mabao mawili na kuisaidia dimu yake Difaa el Jadida kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ittihad Tanger kwenye mchezo wa ligi ya Morocco (Botola Pro League).
Msuva amefunga magoli hayo dakika ya pili na dakika 30 katika mchezo huo uliozikutanisha timu iliyo nafasi ya tatu (Ittihad Tanger) na Difaa El Jadida (ilikuwa nafasi ya 10) kwenye msimamo wa ligi.
Pointi tatu zimeisaidia Difaa kupanda kwa nafasi moja kwenye msimamo wa ligi ambapo kwa sasa ipo nafasi ya 9 ikiwa na alama 24 baada ya kucheza mechi 19.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK