Mfahamu Mtanzania Aliyeigiza wenye Game of Throne

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Imezoeleka kuona watu wa kutoka mataifa mengine wakifanya vizuri kwenye tasnia ya filamu duniani kupitia kiwanda cha filamu nchini Marekani Hollywood, lakini ni mara chache sana kuona watu kutoka Afrika wakifanya vizuri.


Hii imekuwa tofauti sasa, kwani hata Tanzania ambayo imezoelekea kukaa nyuma kwenye tasnia ya burudani dunaini, imefanikiwa kupenyeza mtu na kuipeperusha vyema bendera ya nchi, japokuwa sio moja kwa moja.

Anaitwa Lucian Gabriel Wiina Msamati, aliyezaliwa Machi 5 1976 huko Uingereza, na wazazi wake ni Watanzania kabisa, baba na mama yake, ambao walikuwa na wahudumu wa afya, akiwa mtoto wa kwanza kati ya watoto wanne.  Elimu yake ya msingi aliipata hapo Olympio jijini Dar es salaam, na kisha wakahamia Harare Zimbabwe, na kusoma katika shule ya Avondale, kisha kuendelea na elimu yake ya juu huko huko Zimbabwe.

Baada ya hapo Msamati alianza kazi kwenye 'media' kama mwandishi wa habari wa kujitegemea na kwenye kampuni mbali mbali za matangazo, huku akijihusisha na sanaa za majukwaani (theatrical).

Alipoanza kupata mafanikio kwenye sanaa ya filamu, Msamati alipata deals mbali mbali za kuigiza kwenye filamu kubwa kama Doctor Who, Luther, na Game of Throne ambayo bado inaendelea kutengenezwa muendelezo wake.

Kwa sasa Msamati amehamia nchini Uingereza na anaishi huko, tangu alipofanya uamuzi huo mwaka 2003, na kufanya kuwa mmoja wa waigizaji wakubwa wenye asili ya Tanzania, ambao nchi inapaswa kujivunia.

 Manchester United yakabiliwa na deni kubwa | East Africa Television
Kuelekea mchezo wa kombe kongwe zaidi nchini England na pengine duniani kwa ujumla (FA Cup), kati ya wenyeji Chelsea dhidi ya Manchester United, Man United wanakabiliwa na deni la kulipa mbele ya Chelsea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad