Mwili Wangu Umechanwa Chanwa Vibaya Mno- Tundu Lissu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Singida Mashariki kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kuwa anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mwisho ambao utakuwa upasuaji wa 23, ikiwa ni kumalizia hatua za mwisho za matibabu yake.

Amesema kuwa upasuaji huo atafanyiwa Februari 20, 2019 operesheni hiyo ya mwisho itafanyika kwenye mguu wake wa kulia ambao mpaka Desemba 31 ulikuwa umepasualiwa mara 10, huku tumboni akiwa amefanyiwa operesheni 5.

“Mwili wangu umechanwachanwa sio vya kuelezeka maana huu mguu wangu ulipigwa risasi 4, na mkono wangu sasa hivi haunyooki vizuri. na kuna risasi 7 zilitolewa tumboni.”amesema Lissu

Aidha, ameongeza kuwa mguu wake peke yake umefanyiwa operesheni 10 na 11 utafanyiwa Februari 20, kwa hiyo akivua suruali watu wanaweza kumkimbia kwasababu ya makovu aliyo nayo,

Mwigulu Nchemba apata ajali
Watuhumiwa watatu wa mauaji ya watoto Njombe wafikishwa mahakamani
CCM Njombe waeleza siri ya mafanikio mbele ya viongozi wa Kitaifa
Mbunge huyo wa Singida Mashariki kwa sasa anafanya ziara nchi za nje baada ya kupata nafuu alipokuwa amelazwa nchini Ubelgiji.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad