Show ya Akothee nchini Kenya yazua gumzo mtandaoni, Serikali yalaani uchafu aliufanya jukwaani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Show ya Akothee nchini Kenya yazua gumzo mtandaoni, Serikali yalaani uchafu aliufanya jukwaani
Msanii wa kike wa muziki nchini Kenya, Akothee ameingia kwenye headlines nchini humo baada ya kutumbuiza kwa staili ya aina yake kwenye jukwaani la show ya Valentines Beach Party iliyofanyika Wikiendi iliyopita katika fukwe za Paparemo mjini Watamu nchini humo.


Akothee aliyepanuliwa miguu katikati
Akothee kama iliyowasanii wengine, alianza kuposti kwenye mitandao ya kijamii picha za show ambazo nyingi ziliashiria uharibifu wa maadili na kuchochea ngono kama wadau wa mitandaoni walivyomshambulia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad