Tetesi za Harmonize kujitoa WCB Mwaka Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ameandika  IKIRIRI Kutoka JF

Hii ni taarifa nyeti sana tena iko motomoto.,kwa sasa Harmonize ndio tishio kwa Diamond na WCB.
Hivyo kwa sasa WCB hapanogi tena muda umefika kijana amekua anahitaji empire yake.

Kutokana na kukua kiuchumi na mabadiliko ya tabia na ulevi wa sigara/bangi.,kijana aambiliki kwa sasa.

Hii imekolezwa na kwanini Mlezi atoe kauli ile kwa harmonize? Kwanini asingemsubiri arudi hadi anamuhusisha na bangi mbele ya media ule si ulezi tena bali inaonekana hayupo katika Familia hiyo

Ukitaka kumuua paka MPE jina baya utamuua kiraisi...

JF
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad