AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameandika IKIRIRI Kutoka JF
Hii ni taarifa nyeti sana tena iko motomoto.,kwa sasa Harmonize ndio tishio kwa Diamond na WCB.
Hivyo kwa sasa WCB hapanogi tena muda umefika kijana amekua anahitaji empire yake.
Kutokana na kukua kiuchumi na mabadiliko ya tabia na ulevi wa sigara/bangi.,kijana aambiliki kwa sasa.
Hii imekolezwa na kwanini Mlezi atoe kauli ile kwa harmonize? Kwanini asingemsubiri arudi hadi anamuhusisha na bangi mbele ya media ule si ulezi tena bali inaonekana hayupo katika Familia hiyo
Ukitaka kumuua paka MPE jina baya utamuua kiraisi...
JF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK