Uongozi Simba: Tunazitaka Points Tatu Muhimu Leo Kutokana kwa African Lyon

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uongozi Simba: Tunazitaka Points Tatu Muhimu Leo Kutokana kwa African Lyon
UONGOZI wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba umesema kuwa umejipanga kubeba pointi tatu katika mchezo wa leo utakaochezwa Uwanja wa Amri Abeid.

African Lyon wataikaribisha Simba leo majira ya saa 10:00 Jioni mchezo ambao utarushwa pia kwenye king'amuzi cha Azam TV.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kikosi kimejiaandaa kwa ajili ya mchezo huo na matumaini makubwa ni kuona wanaweza kupata pointi tatu.

"Tunawaheshimu African Lyon ni timu nzuri, ila nasi pia hatuna budi kufanya kile ambacho mashabiki wanahitaji, tayari wachezaji na uongozi umeweza kuimudu hali ya hewa ya huku Arusha, ni wakati tu, sapoti ya mashabiki pamoja na dua ni vitu muhimu," amesema Manara.

Simba ikimaliza mchezo wa leo itakuwa na kibarua kingine mbele dhidi ya Azam FC mchezo utakaochezwa Ijumaa Uwanja wa Taifa majira ya saa 10:00 Jioni vyote vikiwa ni viporo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad