Ushauri wa Bure Kwa Baba Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tafuta watu wakuandikie wimbo ingia studio Fanya track ..Utatoka tu..Utatembelea nyota ya mwanao na pesa utapiga tena nyingi tu kuliko unavyo lia lia hivyo kutaka kusaidiwa fedha na mwanao.

Kwanza lazima ujue kuwa wewe ni mwanaume halafu sio mzee wa kihivyo.

Kuhusu kuimba au kurap hakunaga MTU asie na uwezo wa kuimba duniani. Hayupo. Hata wewe ukiamua unaweza sana. Kama unadhani huwezi kuimba lazimisha Matokeo.

Matter fact mziki wa kibongo bongo unaenda kwa kiki. Kiki tayari unayo.Wewe kuwa baba wa star kama Diamond ni kiki tosha.

Badili changamoto zako kuwa fursa

Watu wa karibu na baba Diamond.mfikishieni ushauri huu.Naamini utakuwa na impact kubwa sana katika maisha yake
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad